LIVE STREAM ADS

Header Ads

BALOZI CATHERINE WAHOME AANZA RASMI KAZI TANZANIA BAADA YA KUKABIDHI HATI KWA RAIS SAMIA

Yaliyomo humu (Habari, Matangazo na Maoni) si msimamo wa BMG Media. Mawasiliano +255 757 432 694 ama ripotabmg@gmail.com

Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akikata Keki iliyoandaliwa na Wafanyakazi wa Ubalozi huo wakati alipowasili katika Ofisi ya Ubalozi mara baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.



Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akikabidhiwa Ua kwa ajili ya upendo wakati alipowasili katika Ofisi ya Ubalozi mara baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.

Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Catherine Wahome akiwa katika picha ya pamoja baada ya baada ya kukabidhi Hati ya Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Watanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan.

No comments:

Powered by Blogger.